Thursday, December 8, 2016

27.Mungu Ni Pendo


Mungu ni pendo, apenda watu;
Mungu ni pendo, anipenda

Sikilizeni furaha yangu,
Mungu ni pendo, anipenda.

Nilipotea katika dhambi,
Nikawa mtumwa wa shetani.

Akaja Yesu kuniokoa,
Yeye kanipa kuwa huru

Sababu hii namtumikia,
Namsifu yeye siku zote.

No comments:

Post a Comment