Dhambi ikikulemea,
Kwa Bwana rehema;
Hivi sasa tegemea
Neno la salama.
Tegemea, tegemea,
akwita sasa.
Ni Mwokozi, ni
Mwokozi; amini sasa.
Yesu amemwaga damu
Ya nyingi baraka;
Nawe sasa oga mumu
Zioshwamo taka.
Ni njia yeye hakika
Hwongoza rahani;
Usikawe kumshika,
Uwe barakani.
Karibu nawe wingie
Mwetu safarini,
Twende tukamwamkie,
Milele Mbinguni.
No comments:
Post a Comment