Wednesday, December 7, 2016

83.Kwa Wingi Wa Nyama


Kwa wingi wa nyama,
Na sadaka pia,
Hupata wapi salama,
Kwondoa hatia?

Sadaka ni Yesu,
Hwondoa makosa;
Dhabihu mwenye jina kuu,
Atanitakasa.

Kwa yangu imani,
Nikuweke sasa
Mkono mwako kichwani
Kukiri makosa.

Roho yakumbuka
Mambo ya mtini,
Mzigo ulijitweka,
Ndiyo yangu deni.

Deni hutanguka,
Tukimuamini;
Kwa damu tumeokoka,
Twimbe furahani.

No comments:

Post a Comment