Thursday, December 8, 2016

28.Anipenda ni kweli


Anipenda ni kweli;
Mungu anena hili;
Sisi wake watoto;
kutulinda si zito.

Yesu anipenda,
Yesu anipenda,
Kweli anipenda,
Mungu amesema.

Kwa kupenda akafa
Niokoke na kufa;
Atazidi taka,
Sana ataniweka.

Anipenda kabisa;
Niuguapo sasa
Anitunza Mbinguni
Nniliyelala chini.

Kunipenda haachi,
Tu sote hapa chini
Baada ya mashaka
Kwake tanipeleka.

No comments:

Post a Comment