Juu yake langu shaka,
Yesu namuwekea,
Nami sitafedheheka
Nikimtegemea.
Natumai, natumai,
Nnatumai kwake tu;
Natumai, natumai,
Natumai kwake tu.
Juu yake, dhambi zangu;
Aniosha kwa damu;
Nionekane kwa Mungu,
Nisiye na laumu.
Juu yake yangu hofu;
Kwake nimetulia;
Sipotei kwa upofu
Njia aning’azia.
Juu yake raha yangu;
Humuangalia tu;
Mwenye kila ulimwengu,
Aniruzuku na huu.
Juu yake, moyo wangu;
Hali yangu na mali;
Mimi wake, Yeye wangu,
Twapasana kamili.
Yesu namuwekea,
Nami sitafedheheka
Nikimtegemea.
Natumai, natumai,
Nnatumai kwake tu;
Natumai, natumai,
Natumai kwake tu.
Juu yake, dhambi zangu;
Aniosha kwa damu;
Nionekane kwa Mungu,
Nisiye na laumu.
Juu yake yangu hofu;
Kwake nimetulia;
Sipotei kwa upofu
Njia aning’azia.
Juu yake raha yangu;
Humuangalia tu;
Mwenye kila ulimwengu,
Aniruzuku na huu.
Juu yake, moyo wangu;
Hali yangu na mali;
Mimi wake, Yeye wangu,
Twapasana kamili.
No comments:
Post a Comment